Kupotoshwa (sehemu ya 2) … na Kukosa Lengo.
Biblia inatueleza kuwa tumepotoshwa kutokana na mfano ambao Mungu alituumba ndani yake. Hilo lilifanyikaje? Imeandikwa katika kitabu cha Mwanzo cha Biblia; Muda mfupi baada ya kufanywa ‘kwa mfano wa Mungu’ wanadamu wa kwanza (Adamu na Hawa), walijaribiwa kwa kuchagua. Biblia inaeleza mazungumzo… Kupotoshwa (sehemu ya 2) … na Kukosa Lengo.