Ufufuo Matunda ya Kwanza: Uzima kwako
Sikukuu ya Wayahudi ya Matunda ya Kwanza, haijulikani vizuri kama Pasaka. lakini Matunda ya Kwanza pia ilianzishwa na Musa chini ya amri ya Mungu. Mambo ya Walawi 23 inaeleza sikukuu saba zilizoamriwa kupitia Musa. Tayari tumeangalia Pasaka na Sabato na tumeona jinsi Yesu… Ufufuo Matunda ya Kwanza: Uzima kwako