Kwa nini Mungu Mwema alimuumba Ibilisi Mbaya?
Shetani: Alitoka Wapi na Anafanya Nini Leo? Biblia inasema kwamba ni Shetani (au Ibilisi) katika umbo la nyoka aliyewajaribu Adamu na Hawa kutenda dhambi na hivyo kuanguka kwao kulitokea. Lakini hili linaibua swali muhimu:Kwa nini… Kwa nini Mungu Mwema alimuumba Ibilisi Mbaya?